Friday, May 29, 2015

SKYLIGHT BAND KUTUMBUIZA LEO KATIKA LUKAS PUB

Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani ya kukata na shoka kwenye stageni na moja ya nyimbo zao
Joniko Flower naye katika muziki wa live hashikiki kwa sauti,viuno mpaka pumzi ni hatareeeee
sakata lumba na sky light band hapana chezea hatareee ukigusa lazima unase
Mashabiki wa Skylight Band wakijiachia kwa raha zao ndani ya kiota cha Lukas pub
baada ya kuonekana kukunwa na burudani inayotolewa na band ya sky light mashabiki wakaanza kulisakata
wajanja wote tunakutana skylight band kila weekend kutupa shida chini na kuweka mikono juu huku viuno tukiwa hatuvisahahu kuvino sasa

No comments:

DKT. SAMIA AHIDI KUKAMILISHA DARAJA LA PANGANI NA BARABARA YA KIMKAKATI BAGAMOYO–SAADANI–PANGANI–TANGA

Na John Bukuku, Tanga  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hass...