Wafanyakazi wa idara ya mauzo wa Benki ya Exim Tanzania (kulia) wakizungumza na baadhi ya vijana waliotembelea banda la benki hiyo juu ya huduma zitolewazo na benki wakati wa kongamano la ‘Badilisha Fikra’ lililoambatana na maonyesho mbali mbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Kimataifa ya Vijana (International Youth Fellowship) jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha na mpiga picha wetu).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA URUSI IKULU CHAMWINO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rai...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment