Monday, August 11, 2014

BENKI YA EXIM YAUNGA MKONO KONGAMANO LA BADILISHA FIKRA

EXIM YOUTH CAMP PIX 3
Wafanyakazi wa idara ya mauzo wa Benki ya Exim Tanzania (kulia) wakizungumza na baadhi ya vijana waliotembelea banda la benki hiyo juu ya huduma zitolewazo na benki wakati wa kongamano la ‘Badilisha Fikra’ lililoambatana na maonyesho mbali mbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Kimataifa ya Vijana (International Youth Fellowship) jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha na mpiga picha wetu).

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA URUSI IKULU CHAMWINO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rai...