Wafanyakazi wa idara ya mauzo wa Benki ya Exim Tanzania (kulia) wakizungumza na baadhi ya vijana waliotembelea banda la benki hiyo juu ya huduma zitolewazo na benki wakati wa kongamano la ‘Badilisha Fikra’ lililoambatana na maonyesho mbali mbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Kimataifa ya Vijana (International Youth Fellowship) jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha na mpiga picha wetu).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA
📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment