Tuesday, August 26, 2014

HIVI NDIVYO SALIM ASAS ALIVYOAPISHWA KUWA KAMANDA WA UVCCM MKOA WA IRINGA


Naibu Katibu Mkuu
CCM Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba akimuapisha Salim Asas kuwa Kamanda
wa UVCCM Mkoa wa Iringa, Salim Asas jana



Alipokuwa
akimvalisha gwanda la ukamanda




Katikati ya wazee
wa kimila baaada ya kuapishwa



Dokii na kundi
lake walitoa burudani


Akafuata baba
level


Na Wanne Star
alikuwepo


Makomandoo

Na wasanii wa
Iringa walikuwepo



Meza kuu ilikuwa
na waalikwa mbalimbali


Vijana Jazz
wakaendelea kusherehesha sherehe hizo

Na Francis GodwinBlog

No comments:

MHE. NDEJEMBI AITAKA PURA KUWAJENGEA UWEZO WATANZANIA KUSHIRIKI MRADI WA LNG

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimar...