Friday, January 11, 2008

Waziri Mkuu yuko Zanzibar



Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiwa na Waziri Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar jana kuhudhuria sherehe za Mapinduzi zitakazofanyika kesho. Kulia ni mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...