Friday, January 11, 2008

Waziri Mkuu yuko Zanzibar



Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiwa na Waziri Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar jana kuhudhuria sherehe za Mapinduzi zitakazofanyika kesho. Kulia ni mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...