Tuesday, January 29, 2008

Polisi Kenya waua Mbunge



Mambo sasa Kenya ni mabaya na ripoti za asubuhi hii zinaeleza kuwa mbunge wa chama cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM) wa Embakassy bwana Mugabe Were ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi.

Mugabe Were, mwanachama wa ODM anadaiwa kushambuliwa nje ya nyumba yake, Polisi wanasema.

Msemaji wa ODM ametaka kuwepo kwa hali ya utulivu hasa katika kipindi hiki kigumu baada ya mbunge huyo kupoteza maisha.

Wakati huo huo ande zinazovutana katika mgogoro wa kisiasa ulioibuka baada ya kutangazwa matokeo nchini Kenya baada ya Tume ya uchaguzi ya nchi hiyo (ECK) kumtangaza Mwai Kibaki kuwa mshindi, ushindi ambao unapingwa hadi leo na Rail Odinga wa ODM anaedai kuwa yeye ndiyo mshindi. bonyeza hapa
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7214558.stm

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...