ULE ujanja wa kishetani uliofanywa na Mwai Kibaki, Rais wa Kenya aliyejinyakulia uongozi wa kutangazwa na hatimaye kuapishwa umeanza kumtokea puani baada ya mataifa ya Magharibi kupinga matokeo ya kura za uchaguzi wa Kenya yaliyompa ushindi kuongoza nchi hiyo katika kipindi kingine cha miaka mitano.
Waangalizi wa Kimataifa kutoka Jumuhia ya Ulaya wametoa tamko lao na kuelezea uchaguzi huo ulikuwa na kasoro kubwa.
Waangalizi hao walisema kuwa Rais wa Kenya hakupatikana kihalali na kwamba matokeo hayo hayakukidhi viwango vya kimataifa. Soma habari hii katika shirika la AFP kwa taarifa zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI
Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...
.jpeg)
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment