ULE ujanja wa kishetani uliofanywa na Mwai Kibaki, Rais wa Kenya aliyejinyakulia uongozi wa kutangazwa na hatimaye kuapishwa umeanza kumtokea puani baada ya mataifa ya Magharibi kupinga matokeo ya kura za uchaguzi wa Kenya yaliyompa ushindi kuongoza nchi hiyo katika kipindi kingine cha miaka mitano.
Waangalizi wa Kimataifa kutoka Jumuhia ya Ulaya wametoa tamko lao na kuelezea uchaguzi huo ulikuwa na kasoro kubwa.
Waangalizi hao walisema kuwa Rais wa Kenya hakupatikana kihalali na kwamba matokeo hayo hayakukidhi viwango vya kimataifa. Soma habari hii katika shirika la AFP kwa taarifa zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment