Tuesday, January 29, 2008

Reginald alipokwenda kuchukua jiko


Kamanda wetu aliyekuwapo Kenya hivi karibuni, danny mwakiteleko akiwajibika huku mzee wa sumo akingoja zamu yake kwa nyuma. Sijui humo ndani ya vyupa kuna karubisi au ni bia.

Ukweni hakuna cha bosi wala nini. wote kubeba mzigo kichwani



Mzee wa Kisima cha Fikra, Reginald Simon akitambulishwa kwa wakweze hakika alionyesha heshima ya ajabu.

Kazi ya ushenga ni kazi kubwa hebu cheki jamaa hapa mtu mzima kapiga magoti akiomba idhini ya wazee.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...