Ile panga pangua ya BoT ilimkumba kigogo Amatus Liyumba, ambaye inasemekana ndiye alikuwa akikaimu ugavana wakati Ballali alipokuwa nje kwa kipindi kirefu kipindi kile ambacho Naibu Gavana Mbaye alipoondoka na kabla Naibu Gavana Reli hajateuliwa.
Saturday, January 19, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
2 comments:
mmh huyu si ndiyo mzee wa magari mekundu..
afya mgogoro apumzike keshaua wengi kwa pesa za ufisadi
sasa kama ana magari mekundu wewe inahusu???kama umalaya ni wao wenyewe wanawake kujipeleka na sio swala lake...ndio mtabaki tu kusema hivyo hivyo..na mkichoka mtakaa kimya...kama pesa anazo na ndo anatumia...na hao wanawake lazma wajipeleke sababu wanapenda pesa...na yote hayo ni wivu,msione mtu anatajiri..nasi mshaanza kusema!!
Post a Comment