Saturday, January 26, 2008

Annan ana kazi kubwa sana Kenya

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan anayo kazi ngumu sana kuweza kurudisha hali kama ilivyo Kenya sababu wanasasa wanalia machozi ya mambo wanakula Wakenya huku machozi yanawatoka hebu cheki hapa chini Hili jamaa siyo kwamba linalenga wanyama linakung'uta risasi live kwa watu.
Watoto wakiwa wamegeuka machokoraa kwa kulala mitaani , hapa wamejifunika blanketi.
Askari Polisi sijui kama ni kweli lakini nadhani ni wanajeshi wakiwa mitaani nakuru kupambana na raia hii ni noma.
Njemba hiii imeumizwa inawasilishwa hositalini leo asubuhi
Huyu naye makubwa yalimkumba, amekatwa mapanga kapigwa hadi anatisha.
Huyu kadungwa mshale. Picha zote za Reuters

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...