Saturday, January 19, 2008

Ufisadi Air Tanzania Corp. Ltd Jk iokoe kampuni


Kuna hawa Watanzania wenzetu waliopo ndani na nje ya ATCL wameona hawawezi kukaa kimya wakiangalia jinsi inavyoangamia kwa ufisadi wa kisayansi.

Wanasema kuna Ufisadi wa kisayansi kwa sababu wanaofanya ufisadi huo ni uongozi wa kampuni kwa kutumia nafasi zao za madaraka na kujifanya huo ndio uongozi.

Wametaja watu kibao wanaodai ni mafisadi na pia wametaja mianya kibao inayowahusisha washirika hao. Hebu Bonyeza
hapa upate habari zaidi.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...