Saturday, January 19, 2008




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wanafunzi wa shule ya msingi ya bweni ya KEMEBOS iliyopo Ijuganyondo katika manispaa ya Bukoba muda mfupi baada ya Rais Kuifungua shule hiyo.




Rais Kikwete akiwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Orthodox Tanzania Jeronymos Muzeeyi muda mfupi baada ya Rais kuweka jiwe la msingi katika hospitali hiyo huko Kitendaguro, katika manispaa ya Bukoba, inayojengwa na kanisa hilo eneo la Kitendaguro katika manispaa ya Bukoba jana mchana.

Rais aliushukuru uongozi wa kanisa hilo kwa uamuzi wa kujenga hospitali hiyo Bukoba akisema kuwa itakapokamilika itawapunguzia wakazi wa mji wa Bukoba na maeneo mengine mkoani Kagera adha ya kwenda hospitali ya Rufaa Bugando kwa matibabu ya magonjwa makubwa.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...