Saturday, January 12, 2008

Kibamba kuwa mji mkubwa



Eneo la Kibamba hivi karibuni liapandishwa hadhi na kuwa mji mkubwa tu lengo likiwa ni kuwavutia wananchi wa uko kubakia huko huko kwa kila kitu ikiwamo mahitaji ya majumbani hadi wakati mwingine maofisi na vitu vingi pichani unaweza kujionea maandalizi.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...