Saturday, January 12, 2008

Kibamba kuwa mji mkubwa



Eneo la Kibamba hivi karibuni liapandishwa hadhi na kuwa mji mkubwa tu lengo likiwa ni kuwavutia wananchi wa uko kubakia huko huko kwa kila kitu ikiwamo mahitaji ya majumbani hadi wakati mwingine maofisi na vitu vingi pichani unaweza kujionea maandalizi.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...