Saturday, January 12, 2008

Kibamba kuwa mji mkubwa



Eneo la Kibamba hivi karibuni liapandishwa hadhi na kuwa mji mkubwa tu lengo likiwa ni kuwavutia wananchi wa uko kubakia huko huko kwa kila kitu ikiwamo mahitaji ya majumbani hadi wakati mwingine maofisi na vitu vingi pichani unaweza kujionea maandalizi.

No comments:

MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA

KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...