Saturday, January 12, 2008

Mapinduziiiiiii


Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.







Rais Jakaya Kikwete akisalimia wananchi waliojitokeza katika uwanja wa Amani alipoudhulia sherehe za Mapinduzi. chini, Rais Aman Abeid Karume akikagua gwaride la heshima jana katika uwanja wa Amani, Zanzibar katika sherehe za miaka 44 ya Mapinduzi Zanzibar na hao wengine chini ni Valantia wakali hao. Picha na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Darren Demers said...

Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.
wholesalesalwar ,
stitched salwar kameez wholesale ,

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...