BREAKING NYUUUUUZ!!
Rais Jakaya Kikwete amekubali ombi la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa la kujiuzulu na pia amelivunja Baraza la Mawaziri.
Taarifa zilinukuliwa katika takribani vyombo vyote vya habari nchini leo znasema kuwa Rais amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari mambo kadhaa ikiwamo kujiuzulu kwa mawaziri watatu.
JK aanatarajia kumwajiri Waziri Mkuu mpya leo hii na kumuapisha Jumapili huko Chamwino, kabla ya kutangaza baraza jipya la mawaziri kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI
Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...
.jpeg)
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment