Monday, February 18, 2008

Hospitali ya Mount Meru







Rais Geoge Bush wa marekani akiwa akiwa amemshika mama mjamzito baada ya kumkabidhi chandarua kwa ajili ya kujikinga na mbuu muda mfupi uliyopita alipotembelea hospitali ya wilaya ya Meru mkoani arusha , kushoto kwake ni Dr Aziz Msuya wa hospitali hiyo.


No comments:

Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)

  Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...