Saturday, January 12, 2008

Mapinduziiiiiii


Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.







Rais Jakaya Kikwete akisalimia wananchi waliojitokeza katika uwanja wa Amani alipoudhulia sherehe za Mapinduzi. chini, Rais Aman Abeid Karume akikagua gwaride la heshima jana katika uwanja wa Amani, Zanzibar katika sherehe za miaka 44 ya Mapinduzi Zanzibar na hao wengine chini ni Valantia wakali hao. Picha na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Darren Demers said...

Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.
wholesalesalwar ,
stitched salwar kameez wholesale ,

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...