Thursday, September 03, 2015

MKUTANO WA KAMPENI ZA MH. LOWASSA, SUMBAWAGA MKOANI RUKWA


Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Sumbawanga, waliofika kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga Mkoani Rukwa, wakiishangilia Ndege iliyombeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili Uwanjani hapo,jana Septemba 2, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, RUKWA.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Ikuo Malila, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga Mjini, Mkoani Rukwa, jana Sepremba 2, 2015.

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI DUBAI, AONGEZA KASI YA DIPLOMASIA YA KIUCHUMI NA UWEKEZAJI

Dkt. Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza rasmi ziara ya kikazi nchini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (U...