Tuesday, April 14, 2015

KAMPUNI YA TIGO YADHAMINI KONGAMANO LA WANACHUO WA IAA ARUSHA

TI1Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini Deogratius Ndejembi akiongea na wanachuo wa chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) wakati wa kongamano la kuwaelimisha na kuwasaidia wanavyuo jinsi ya kupata ajira wamalizapo masomo, kongamano hilo lilidhamini na kampuni ya Tigo lilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Arusha.

No comments:

UJIRANI MWEMA KATI YA NGORONGORO NA VIJIJI VYA JIRANI WAZIDI KUIMARISHWA

  Na Mwandishi Wetu Naibu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro anayesimamia Uhifadhi, Utalii na Maendeleo ya Jamii, Joas...