Tuesday, August 12, 2014

Mtaalamu wa sheria na Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) Profesa Bonaventure Rutinwa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Suala la Uraia Katika Kamati Namba tano ya Bunge Maalum la Katiba

Profesa Bonaventure Rutinwa(kulia) ambaye ni mtaalamu wa sheria na pia Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo  Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) akitoa ufafanuzi kuhusu suala la uraia katika Kamati namba tano ya Bunge Maalum la Katiba leo kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hamad Rashid.Picha na  Kamati ya Bunge Maalum la Katiba

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...