Tuesday, August 12, 2014

Mtaalamu wa sheria na Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) Profesa Bonaventure Rutinwa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Suala la Uraia Katika Kamati Namba tano ya Bunge Maalum la Katiba

Profesa Bonaventure Rutinwa(kulia) ambaye ni mtaalamu wa sheria na pia Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo  Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) akitoa ufafanuzi kuhusu suala la uraia katika Kamati namba tano ya Bunge Maalum la Katiba leo kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hamad Rashid.Picha na  Kamati ya Bunge Maalum la Katiba

No comments:

TUTABORESHA BAJETI YA ELIMU – WAZIRI MKUU

▪️Asema Serikali itaimarisha vitengo vya tathmini na ufuatiliaji kila wizara Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea ku...