Friday, March 05, 2010

Uzinduzi mahakama ya Rufani





Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Augustine Ramadhan pamoja na familia za majaji kabla ya kuzidua jengo la kumbukumbu ya Jaji Mkuu wa Kwanza Mzalendo, Hayati Augustine Said kwenye mahakama ya Rufani jijini Dar es salaam . Kwenye picha yupo pia mke wa Jaji Saidi Bi Helena, jengo lenyewe waoza kuliona pia waweza kuona sanamu la jaji Saidi lililowekwa kama kumbukumbu yake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...