Meli ya MV Serengeti ikiungua moto ikiwa iko nje kidogo ya bandari ya Zanzibar, huku wafanyakazi wa shirika la bandari Zanzibar kwa kushirikiana na kikosi cha zimamoto na uokozi (KZU) wakiwa katika jitihada za kuuzima moto huo. Meli hiyo yenye namba za usajili IMO:6818796 ilikua katika matayarisho ya kwenda kisiwani Pemba usiku wa jana, hata hivyo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika. Picha nyingine wananchi mbalimbali wakishuhudia meli ya MV Serengeti ikiungua moto nje kidogo ya bandari ya Zanzibar.
Sunday, March 14, 2010
Meli yaungua moto Zenji
Meli ya MV Serengeti ikiungua moto ikiwa iko nje kidogo ya bandari ya Zanzibar, huku wafanyakazi wa shirika la bandari Zanzibar kwa kushirikiana na kikosi cha zimamoto na uokozi (KZU) wakiwa katika jitihada za kuuzima moto huo. Meli hiyo yenye namba za usajili IMO:6818796 ilikua katika matayarisho ya kwenda kisiwani Pemba usiku wa jana, hata hivyo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika. Picha nyingine wananchi mbalimbali wakishuhudia meli ya MV Serengeti ikiungua moto nje kidogo ya bandari ya Zanzibar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment