Thursday, March 18, 2010

Tamasha la mataifa ya



Mshauri katika Ubalozi wa India hapa nchini, Ngulkham Gangte (kushoto) akifafanua jana jijini Dar es Salam katika Ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) juu ya kuanza tamasha la filamu la nchi nane za Asia ambazo ni India, China, Japan , Iran , Indonesia na Korea. Wengine wa kwanza kutoka kulia ni Mwambata wa masuala ya habari na utamaduni wa Ubalozi wa India Sanjeev Manchanda, wa pili kulia ni Mwambata wa habari na utamaduni wa Ubalozi wa Indonesia Bw.Sukamto na wa tatu kutoka kulia ni Mwambata wa masuala ya Utamaduni wa Ubalozi wa Iran Saeed Omidi. Tamasha hilo linatarajia kuanza kesho saa moja usiku katika Ukumbi wa New World Cinema na litakuwa bure. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es salaam

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...