Sunday, March 28, 2010

Sir George enzi hizo


SIR George akiwa na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere katika moja ya vikao vyao mara baada ya taifa kupata uhuru, kushoto kwa mwalimu ni Rashid Mfaume Kawawa aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa wakati huo na anayefuata ni Paul Bomani aliyekuwa Waziri katikaserikali ya awamu ya kwanza, wote watatu sasa ni Marehemu isipokuwa Sir George. Maktaba.

1 comment:

Anonymous said...

namuona mchonga akiwa na fegi mkononi.

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...