Wednesday, July 09, 2008

Taka ngumu


Hebu cheki taka zilivyorundikana katika maeneo mbalimbali ya jiji yaani ni noma na hiki kirundo ni kidogo saana katika jiji hili la Dar es Salaam, au unasemaje msomaji?

No comments:

Tanzania Yaibuka Kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za Worl...