Thursday, July 17, 2008

Njia Tatu


Hii ni kali tangu yule mheshimiwa Waziri Mkuu Edward Lowassa alipoingia madarakani kwa kweli hatukatai aliingia kwa nguvu kubwa akafanya mengi mno kwa muda mfupi mojawap[o ni hili la njia tatu hakika, mfumo huu umesababisha mambo mengi mabaya na mazuri, umeua watu wengi na kuwatia vilema wengine na kwamba hata bima hawatambui, sasa hivi bado tunauhitaji mfumo kama huu kwanini zisiendelee kutafutwa njia mbadala ya hii.

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...