Sunday, July 13, 2008

Maji taka kibao


Eeee bwana jiji letu la Dar es Salaam linakabiliwa na tatizo kubwa a miundombinu mibovu hali inayosababisha maji taka kutapakaa kila pahala, hebu cheki hapa stendi ya Mwenye maji taka yametapakaa kila pahala.

No comments: