Sunday, July 20, 2008

Elimu kweli safari yake ndefu


Zuena Yahya, akimvisha shada la maua Salma Taituz, baada ya kuhitimu shule ya awali ya St Mary's Mbagala jijini Dar es Salaam, hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo juzi. Picha ya Deus Mhagale.

No comments:

Tanzania Yaibuka Kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za Worl...