Thursday, July 17, 2008

Sigara duuuhhh


Eeee bwana sigara sijui ni tamu au sijui vipi, ukiwaona wanaovuta huburudika saana na ladha yake wanaipata vilivyo , lakini maelezo ya kitaalamu yanasema sigara ni mbaya na inaleta balaa mwilini japo watu twaipenda, hebu mcheki mdada hapa akivuta hisia ya fegi. Picha ya mdau wa blogu hii.

No comments:

Tanzania Yaibuka Kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za Worl...