Sunday, July 27, 2008

Jengo la kale Hatariii!!!


Mtoto wa mtaa wa Mwambao Bagamoyo , akicheza karibu na ukuta wa jengo linalodaiwa kujengwa mwaka 1830, majengo mengi ya kale ambayo yangetakiwa kuhifadhiwa na kuwa kumbuklumbu yameachwa na uongozi wa mji huo kuanguka ni hatari kwa utalii wa mji huo. Picha ya Mdau Deus Mhagale.

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...