Thursday, July 03, 2008

Rais Jakaya


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro muda mfupi baada ya kurejea kutoka Misri ambapo aliendesha mkutano wa 11 wa Umoja huo katika mji wa Sharm El Sheikh jana jioni. (picha na Freddy Maro)

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...