Friday, July 11, 2008

Barabara ya Mandela


Eeehhh bwana hawa jamaaa wanaojenga hii barabara ya Mandela wanaoneakana ni wataalamu wa mitaroo hao yaani wao kutwa kucha kuchimba mitaro hebu chei picha hii ya jana walivyokuwa wanachimbua mitaro kabla ya kuanza kujenga barabara ya mandela eneo la Tabata Relini.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...