Friday, July 11, 2008

dagaa haba



Dagaa sasa hivi ni dili kule feri na maeneo yote nchini sababu ya amri ya serikali ya kutotumia nyavu ndogo ambazo imesema zinaua samaki wa changa, sasa hivi yanatumika madema na mitego hakuna nyavu hivyo wapenda dagaa jiandaeni ukame wa daa waja picha ya mdau Fidelis Felix ni ya reo reo

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...