Thursday, January 21, 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI LEO

Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Dk. Asha Rose Migiro akimhudhurisha Shahada ya Falsafa ya Udaktari ya Heshima, Mwenyekiti wa CC, Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, katika mahafali ya Chuo hicho yaliyofanyika jana, Kampasi ya Kinondoni, Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

TANZANIA NA ZIMBABWE ZASAINI MAKUBALIANO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA

Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) na Chemba ya  Biashara ya Taifa la Zimbabwe (ZNCC) wamesaini hati ya makubaliano (MoU...