Monday, January 18, 2016

POLISI WAPAMBANA NA WANANCHI VURUGU ZA KUFUNGA BARABARA MKWAJUNI KINONDONI

MKW1
Katika maeneo ya Mkwajuni Kinondoni baadhi ya wananchi wamefunga barabara wanachoma matairi kwa kile wanachodai kupinga bomoa bomoa Askari wako eneo la tukio wakijaribu kuwazuia kufanya matukio hayo na hakuna magari yanayoweza kupita eneo hilo kutokana na vurugu zilizoababisha  kufungwa kwa barabara hiyo ya kutoka Moroco kwenda Magomeni.
MKW2MKW3

No comments:

MALIASILI, MAHAKAMA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA HIFADHI

Na Sixmund Begashe, Arusha Wizara ya Maliasili na Utalii imeahidi kuendeleza ushirikiano na taasisi zote zinazounda mnyororo wa haki jinai i...