Katika maeneo ya Mkwajuni Kinondoni baadhi ya wananchi wamefunga barabara wanachoma matairi kwa kile wanachodai kupinga bomoa bomoa Askari wako eneo la tukio wakijaribu kuwazuia kufanya matukio hayo na hakuna magari yanayoweza kupita eneo hilo kutokana na vurugu zilizoababisha kufungwa kwa barabara hiyo ya kutoka Moroco kwenda Magomeni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MALIASILI, MAHAKAMA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA HIFADHI
Na Sixmund Begashe, Arusha Wizara ya Maliasili na Utalii imeahidi kuendeleza ushirikiano na taasisi zote zinazounda mnyororo wa haki jinai i...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment