Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikagua baadhi ya mafaili kwenye ofisi za masjala zilizopo ghorofa ya pili ya NHC ametoa wito kwa wafanyakazi kujituma katika kufanya kazi kwa ufanisi na kuongeza ubunifu. Ameyasema hayo baada ya kufanya ziara ya kawaida katika ofisi mbalimbali makao makuu ya Shirika.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikagua baadhi ya mafaili kwenye ofisi za masjala zilizopo ghorofa ya pili ya NHC
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na Meneja Manunuzi-Miradi, Nyelu Patson Mwamwaja alipotembelea ofisi zilizopo ghorofa ya nne makao makuu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa kitengo cha Utawala ghorofa ya nne.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa kitengo cha mawasiliano na huduma kwa jamii makao makuu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akisalimiana na Neema Msitta wa Kitengo cha Rasilimaliwatu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na Sophia wa kitengo cha Uendelezaji Miliki wa NHC.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na Meneja wa Uendelezaji Biashara wa NHC, William Genya.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akifurahia jambo na Manning Malwaka wa Kurugenzi ya Ubunifu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akifurahia jambo na Mark Sallu wa Kurugenzi ya Fedha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment