Monday, December 16, 2013

KWELI MANDELA HAKUWA MTU KAWAIDA, MAAJABU YATAWALA KWENYE MAZISHI YAKE, MIZIMU YAONEKANA LIVE MAHALA ALIPOZIKWA!


 Hapa Mwili wa Mandela baada ya kufariki.

 Na Mwandishi wa Xdeejayz-Afrika Kusini

Hatimae Nelson Mandela amepumnzishwa kwenye makao yake ya milele na kimsingi hatutomuona tena hadi siku ya mwisho kwenye ufufuo.
Afrika Kusini na dunia zilikuwa kweye majonzi mazito ya kifo cha shujaa huyo wa karne ambae dunia inamfahamu kwa mambo mema aliyoyafanya.

1 comment:

Unknown said...

Hiyo picha inayomwonyesha marehemu Mandela amefumba macho imekuwa "doctored". Mtu aliyeipiga anasema marehemu Mandela alikuwa hai na alikuwa kwenye mkutano wa ANC. Ni kwamba alifumba macho tu.

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE)

  Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Ridhiwani J. Kikwete,...