Friday, November 22, 2013

KAMATI KUU CHADEMA YAMTEUA TUNDU LISSU KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA

Mhe. Tundu Lissu.
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imemteua Mhe. Tundu Lissu kuwa Mwanasheria Mkuu wa chama hicho. Kamati hiyo ilikaa kikao chake Novemba 20 mpaka 21 katika Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

No comments:

Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)

  Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...