Tuesday, November 12, 2013

MZIZIMA ROTARY CLUB YAMPA TUZO MKURUGENZI WA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)KWA UTENDAJI ULIOTUKUKA

Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi cheti maalum cha kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.
Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi tuzo maalum ya kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam
Mzee Method Kashonda mmoja wa viongozi wa Mzizima Rotary Club akikaa kwenye kiti chake mara baada ya kusoma wasifu wa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Kyando Mchechu jana kabla ya kumkabidhi tuzo yake aliyokabidhiwa na taasisi hiyo kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akitoa shukurani zake kwa Rais wa Rotary Club na wajumbe wake mara baada ya kukabidhiwa tuzio hiyo. kulia ni Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala.
Baadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo
Baadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Paul Mashauri Mwenyekiti wa East Africa Speakers Bureau (EASB)
Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC , Muungano Kasibi Saguya kushoto akiwa na
Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC wakiwa katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akizungumza jambo na Paul Mashauri Mwenyekiti wa East Africa Speakers Bureau (EASB) na katikati ni Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC , Muungano Kasibi Saguya
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo.
Kushoto ni Paul Mashauri na na wajumbe wengine wa Rotary Club wakimpigia makofi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando hayupo pichani mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo



No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...