Mratibu wa Shindano la Redds Miss Tanzania Kanda ya Ilala 2013, Juma Mabakila (katikati waliokaa), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitangaza zawadi watakazopewa washindi wa shindano hilo litakalofanyika leo kwenyeUkumbi wa Golden Jubilee Dar es Salaam. Kutoka kushoto waliokaa ni Mkufunzi wa warembo hao Hafsa na William Malecela.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI
Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...
.jpeg)
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment