Monday, May 13, 2013

Mbowe Akiteta Jambo na Naibu Waziri Medeye Walipokutana eneo la Bomang'ombe, wilayani Hai


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe akisalimiana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye. Viongozi hao walikutana juzi eneo la Bomang'ombe, wilayani Hai, kila mtu akiwa katika ziara yake. Wakati Mbowe alikuwa anaendelea na ziara ya kuzungukia wananchi latika vijiji mbalimbali jimboni kwake Hai, Medeye alikuwa katika ziara yake binafsi maeneo ya jimbo hilo.Picha na Chadema

1 comment:

Anonymous said...

Its not my first time to pay a visit this web site, i am
visiting this web page dailly and get nice data from here all the time.


My blog post great site

RAIS SAMIA AKUTANA NA ALIKO DANGOTE; AENDELEA KUFUNGUA MILANGO YA FURSA ZA UWEKEZAJI TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ...