Thursday, May 30, 2013

Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC

 Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort. Mkutano huo ulitanguliwa na Semina ya Manunuzi ya Watendaji wa NHC iliyofanyika kati ya May 22 na 25.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Hamad Abdallah akizungumza na wajumbe wa  kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC kilichofanyika Hoteli ya Tanga Beach Resort
Wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Goodluck Ole Medeye akifungua   kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC kilichofanyika Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort.

Wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort.
 Wajumbe wakijadiliana

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...