Monday, February 10, 2014

Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja Akiwa akunjwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini



Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja akidhibitiwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda2 wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini. Picha na Godfrey Kahango 

No comments:

Makamu wa Rais wa Zimbabwe akutana na CP Kaganda kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Kembo Mohadi, amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini humo, Kamishna wa Po...