Nyumba hizo za NHC Kibada, Kigamboni zijulikanazo kwa jina lake la Mradi kama Kigamboni Housing Estate zitakavyoonekana baada ya kumalizika.
Picha ya mchoro wa kompyuta inayoonyesha namna ambavyo mji au eneo la nyumba za gharama nafuu NHC kibada Kigamboni utakavyoonekana mara baada ya kumalizika hivi karibuni.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Sehemu ya nyuma ya nyumba hizo za gharama nafuu inavyoonekana kabla ujenzi haujakamilika.
Sehemu ya nyumba za gharaha nafuu za Kibada zilizojengwa kwa matofali ya kawaida ikiwa ni aina tofauti na ile ya nyumba zilizojengwa kwa matofali yanayotumia udongo na kuchanganywa na sementi kidogo na hivyo kupunguza gharama za ujenzi.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Nyumba hii ni mojawappo ya nyumba za gharama nafuu zinazojengwa katika eneo la Kibada ikiwa imeshakamilika inatumika kama model house.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NANENANE 2026: RAIS SAMIA ASISITIZA KILIMO CHA TIJA, MASOKO NA TEKNOLOJIA KUELEKEA DIRA 2050
Dodoma, Agosti 8, 2026 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kilele cha Maadhimisho ya Nanena...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...


No comments:
Post a Comment