Friday, February 20, 2009

Vijana wamewiva si mchezo






















Baadhi ya wanajeshi waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi katika shule ya mafunzo ya awali ya kijeshi ya Makutupora mkoani Dodoma wakionyesha umahiri wakati wa kufunga mafunzo hayo jana. Jumla ya vijana 1306 wamehitimu mafunzo hayo kati ya 1310.

No comments:

Ziara za Viongozi na Taasisi za Umma Zapamba Moto Tarangire, TANAPA Yafaidi Ongezeko la Watalii wa Ndani

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linaendelea kunufaika na mwamko mkubwa wa watalii wa ndani, hususan kupitia safari za mafunzo...