Tuesday, February 17, 2009
Joseph Maina Afariki Dunia
Taarifa zilizotufikia punde tu zinaeleza kuwa yule gwiji wa muziki wa dansi na ambaye ni mmoja wa visiki vya bendi ya Msondo Ngoma Jazz Band bwana Joseph Maina amefariki dunia akiwa safarini ndani ya daladala akitokea maeneo ya Mbagala. Kwa sasa maiti ya mwanamuziki huyo tunaelezwa iko ndani ya hospitali ya Temeke imeshushwa na wasamaria wema. Maina kwa wale wasiomjua ni mwanamuziki mkongwe na mtunzi wa nyimbo nyingi lakini kubwa ni ile ya Baba Gift habari zaidi tutakuwa tukiendelea kuwaletea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ziara za Viongozi na Taasisi za Umma Zapamba Moto Tarangire, TANAPA Yafaidi Ongezeko la Watalii wa Ndani
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linaendelea kunufaika na mwamko mkubwa wa watalii wa ndani, hususan kupitia safari za mafunzo...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
poleni kwa msiba
Kigali, Rwanda
Post a Comment