Thursday, February 12, 2009

Mtaa wa Congo


Jamani mambo yanakuwa juu ya mambo jiji linazidi kufumuka, linapendeza linajaa watu kila kukicha hapa pichani hebu cheki kila mmoja hapa na lake wapo wanaotoka Congo kwenyewe hadi wale wanaotoka huko Nyakitonto, Kanyamahera, Jimbo, Namagondo na kadhalika.

No comments:

Ziara za Viongozi na Taasisi za Umma Zapamba Moto Tarangire, TANAPA Yafaidi Ongezeko la Watalii wa Ndani

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linaendelea kunufaika na mwamko mkubwa wa watalii wa ndani, hususan kupitia safari za mafunzo...