Mzee wa Mshitu
Tuesday, August 12, 2008
Watoto shuleni
Maisha ya skuli si mchezo kuna milima na mabonde, kuna miteremko vile vile hebu cheki hivi vijamaa vimejificha sijui vinaogopa nini, bila shaka vimetoroka kabla ya kuruhusiwa na mwalimu
1 comment:
Yasinta Ngonyani
said...
labda hawajafanya homework na wanaogopa viboko si unajua tena.
15/8/08 9:48 am
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
labda hawajafanya homework na wanaogopa viboko si unajua tena.
Post a Comment