Tuesday, August 12, 2008

Watoto shuleni


Maisha ya skuli si mchezo kuna milima na mabonde, kuna miteremko vile vile hebu cheki hivi vijamaa vimejificha sijui vinaogopa nini, bila shaka vimetoroka kabla ya kuruhusiwa na mwalimu

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

labda hawajafanya homework na wanaogopa viboko si unajua tena.

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...