
Mke wa Rais Salma Kikwete(kushoto)akibadilishana mawazo na Mke wa Rais wa Marekani Laura Bush kwenye ikulu ya nchini hiyo The White House alipomtembela Laura jana.Rais Kikwete na Mkewe wapo nchini Marekani kwa Mwaliko Rasmi wa Rais George Bush.
Na. Mwandishi wetu - Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imeipongeza TANAPA kwa ushirikian...
No comments:
Post a Comment