Friday, August 01, 2008

Msiba wa Wangwe noma

Jamaa wako na mabango wakielezea hisia zao.
Panoja na kuwapo kwa polisi lakini vijana wanaleta vurugu nyingi kiasi kwamba tumepata taarifa kuwa kuna wengine wanaletwa kw amagari nadhani sasa siasa inakolea msibani!!!!!

No comments:

SERIKALI YA ZANZIBAR YAIPONGEZA TANAPA KWA KUKUZA USHIRIKIANO NA KUBORESHA UTALII

Na. Mwandishi wetu - Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imeipongeza TANAPA kwa ushirikian...