Wednesday, August 20, 2008

Bweni laungua


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Bigwa inayomilikiwa na Masista wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro,wakiangalia baadhi ya vitu vyao vilivyoungua moto uliotokea jana na kuunguza mabweni mawili ya Shule hiyo.Picha na Mdau John Nditi/TSN Morogoro.

No comments:

SERIKALI YA ZANZIBAR YAIPONGEZA TANAPA KWA KUKUZA USHIRIKIANO NA KUBORESHA UTALII

Na. Mwandishi wetu - Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imeipongeza TANAPA kwa ushirikian...